Mpasua Jipu
Member
- Jun 18, 2012
- 12
- 3
Sakata la aliyekuwa mhariri mtenda wa gazeti la DIRA limetinga mikononi mwa Kenyela.
Inasemekana hatua hiyo imekuja baada ya Alex Msama kufuatilia fedha zake kiasi cha shilingi milioni 30 bila mafanikio, fedha hizo alipewa Mulinda kwa makubaliano ya kufanya kazi katika kampuni yake kwa zaidi ya mwaka mmoja, lakini Mulinda alidumu kwa miezi mitatu tu.
Inasemekana hatua hiyo imekuja baada ya Alex Msama kufuatilia fedha zake kiasi cha shilingi milioni 30 bila mafanikio, fedha hizo alipewa Mulinda kwa makubaliano ya kufanya kazi katika kampuni yake kwa zaidi ya mwaka mmoja, lakini Mulinda alidumu kwa miezi mitatu tu.