Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,913
- 67,435
Shida ya wachaga ni pombe 😂Upate na supu na safari nne za barrriidi na shoti moja ya konyagi full wikiend murua
Ulisukuma sana af ulikuwa una tumia nguvu sanaNilishaga jaribu ikatoka kaukau halafu ikawa na umbo kama ameoba.
Uje uipeke iyo supuHapo upate na supu ya kokoriko🤗🤗🤗🤗
Mkuu una mkono laini !Andaa ngano mafuta na chumvi changanya kisha kanda kwa mda mrefu kiasi kwamba ngano ina legea yenyewe kisha tengeneza madonge yako kulingana na idadi yako unayo taka kisha anza kusukuma then ikunje kama unavyo kunja mkeka itokee umbo hili
View attachment 3427847
Baaada ya hapo utaisukuma tena itokee duara linalo eleweka kisha utaanza kuikaanga View attachment 3427855baada una kuwa una weka mafuta pole pole na uhakikishe chapati yako inakunjika hivi baada ya kuiva vizuri
View attachment 3427860
Hivyo tu ina pendeza jumamos kama hii una amka mapema una andalia familia yako kama wewe ni mwanamke mwaandalie mumeo ili awe ata ana kukumbuka siku za kazi ila sio mwanaume ana sema bora chapati za kazini mzuri no pika vizuri kama hivi
Mimi sfio mchaga ni mnyaki wa tukuyuShida ya wachaga ni pombe 😂
Madam Mwachiluwi naweza kuweka appointment?,nahitaji nije kwako au Uje kwangu unifunze Kwa Vitendo kutengeneza chapati laini,mi napenda chapati !
Duh umejuaje?Mkuu una mkono laini !
Tukuyu ip hiyo 😂Mimi sfio mchaga ni mnyaki wa tukuyu
Jifunze pia kwakoChapati hizo nimemkumbuka R.I.P
Chief Cooker Super mwamba kutoka Mwanza
Hapa nilipo zipo ambazo zimeandaliwa unatia kwenye moto, huyu chief cooker(m Sri Lanka) akipika inakuwa ngumu kama jiwe 1. Ukila moja meno unayapa mapumzikoJifunze pia kwako
Hizo naziweza ingawa nilipika miaka inapita 8Jifunze pia kwako
Si ana pika za kuuza so ana jua tu mtanunuaHapa nilipo zipo ambazo zimeandaliwa unatia kwenye moto, huyu chief cooker(m Sri Lanka) akipika inakuwa ngumu kama jiwe 1. Ukila moja meno unayapa mapumziko
Tafuta mda now au ndio usha oaHizo naziweza ingawa nilipika miaka inapita 8
Andaa mahitaji,nikivurunda nielekeze taratibu🤗🤗🤗🤗Uje uipeke iyo supu