MalcolM XII
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 5,239
- 14,214
Wanaume wa Dar wanavyopenda mayai, hapa washalowesha simu kwa udenda.
😂😂😂😂😂😂 mkuu we ngapi unamalizaHapo najua kuna wabongo watasema "Chapati hizo 2 namaliza!"
utakufa😳😳Nahitaji za ukubwa huo mbili na chai kwaajili ya kifungua kinywa Kesho asubuhi
mkuu kwenu bangi bei rahisi???😂😂😂😂Wanaume wa Dar wanavyopenda mayai, hapa washalowesha simu kwa udenda.
Watu wanakufa kwa njaa sio kula sanautakufa