Maji Ya Ugoko
Member
- Oct 17, 2012
- 11
- 2
sababu kubwa ya mke kuchepuka ni wewe mume ukose pesa . Fanya kazi uwe na pesa mtimizie mahitaji yake yoote full stop .
Kwani wenye hela zao hawagongewi?sababu kubwa ya mke kuchepuka ni wewe mume ukose pesa . Fanya kazi uwe na pesa mtimizie mahitaji yake yoote full stop .
Unakuta mmekaa uchumba miezi au miaka.Mmezaa na ushamzoea sana hata nice treatment and caring zinapungua.
Sasa akitokea mburula fulani akamtreat vizuri na kumcare hapo lazima mkeo amegwe kisela.
Muwatreat wake zenu nyie viraza mlio kwenye ndoa au uchumba la sivyo mtagongewa.