dickdickinyo
Senior Member
- May 19, 2015
- 118
- 53
Unakuta mmekaa uchumba miezi au miaka.Mmezaa na ushamzoea sana hata nice treatment and caring zinapungua.
Sasa akitokea mburula fulani akamtreat vizuri na kumcare hapo lazima mkeo amegwe kisela.
Muwatreat wake zenu nyie viraza mlio kwenye ndoa au uchumba la sivyo mtagongewa.
Sasa akitokea mburula fulani akamtreat vizuri na kumcare hapo lazima mkeo amegwe kisela.
Muwatreat wake zenu nyie viraza mlio kwenye ndoa au uchumba la sivyo mtagongewa.