Jamani wana JF naomba kujuzwa source ya hawa kuku wa kisasa. Je Ni mayai kweli?Kama Ni mayai yanatagwa Na kuku gani?Nimekuwa nikifikiria hili suala bila ya majibu ya uhakika.Wenye ufahamu Na Hilo please..
hiyo ndo shaka yangu kubwa.Tatizo Na sisi huwa tunakimbilia Sana hizi nyama bila kujua undani wake.Utakuta kuku anachinjwa lakini bado anatoa sauti ya kifaranga. Je kibaolojia hii ipoje?Maana kile Ni kiumbe hai Na Ni lazima kiumbwe kwa nguvu za pande zote mbili Ili uwepo uhai(yaani Male and female).Cha kushangaza wale kuku huwa hawajulishi Ni jinsia gani.Yaani bado Ni vululuvululu Tu.watakuwa wanakong'otolewa na mashine na si kuku maana nilikuta Goms vipande vya kuku wa wiki 5 ni kama vya bata wa miaka 2 mpaka vinatisha kuvila.
haya makuku sio mazuri kwa kula binadamu mi huwa nawapaga mbwa wangu kama nawe unakula basi we ni mmoja wa mbwa wangu
acheni kutuharibia biashara zetu mnachunguza nn sasa.. Fanyeni utafiti wa kisomi na muweke konclussion siyo kulalamalalama pasipo sababu za msingi ..!
hiyo ndo shaka yangu kubwa.Tatizo Na sisi huwa tunakimbilia Sana hizi nyama bila kujua undani wake.Utakuta kuku anachinjwa lakini bado anatoa sauti ya kifaranga. Je kibaolojia hii ipoje?Maana kile Ni kiumbe hai Na Ni lazima kiumbwe kwa nguvu za pande zote mbili Ili uwepo uhai(yaani Male and female).Cha kushangaza wale kuku huwa hawajulishi Ni jinsia gani.Yaani bado Ni vululuvululu Tu.