Rapherl
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 3,504
- 2,256
una uhakika?.....!??? au porojo tu.
unaogopa kufa?!
unafikiri utaishi milele?
una uhakika?.....!??? au porojo tu.
unaogopa kufa?!
unafikiri utaishi milele?
We Pimbi, kila mtu atakufa, ila kila mtu anogopa kufa na anajiepusha na kifo, hilo nimeshali-prove! acha kutuzuga hapa!
upimbi umekujaje tena hapa?
Ubaya hautukuzwi mkuu,kwingine kunwachuna ngozi wala hawajitangazi!!USCHEZE NA WATU WA KASKAZINI BANA! ILE NI JAMHURI NYINGINE.KWANZA WANA HELA NA UKIZUBAA WANAKUCHINJA. KWA UBABE NDIYO USISEME KWANZA MAKABILA YA KULE NOMA!(kurya,meru,sonjo,masai,barbaegh,chaga nk)HAWA WATU WANA ITKADI KALI SANA.
km mchz alikua amevunja sheria kw kutembea na kias cha fedha kingi ivo, km vp nae ahukumiwe kisheria kwa kuwekewa pingu kwenye kabur lake,
Hahaaa poleni sanaaaa . Wote mnajulikana. Mmehonga ml 5 gazeti la nipashe kuandika usenge ili kijificha ila hamuwezi kukimbia mkono wa mungu. Kaburu ailipewa pesa na sharifu siku erasto anapigwa risasi yy yuko airpot kupeleka pesa magazeti ni . Nani asiyejua? Acheni kumzihaki mungu eti asalam aleikum. Ndio maana sharifu alikua anafuturisha watu huku anapanga mauaji? Acheni kudanganya watu bwana. Hao wa naweza kusaidia police hizo ml 100 waliziona? Mnaua watu kwa hisia za kimavi halafu mnaongea ujinga. Chusa alitumia vijana wake kumuua kijana mwingine alokua amefanya naye biashara cet garden, alimpiga wile risasi kwa mkono wake akafungwa akatoa ml 120 file likabadiliswa, akampa shahidi ml 40 na vitisho juu kua akisubutu kutoa ushahidi anamuua, akaona hatoki akadai erasto ndio anasababisha asitoke. Hivi ukiua unatafuta ni nani anasababisha ufungwe? Serikali ya baba ako? Au ndio hizo bangi za denis zimemharibu chusa kichwa? Anahonga mpaka serikali za mitaa. Anakaa vikao na kina kaburu eti wakishindwa kumuua watammwagia hata tindikali loooo ni nini? Eti anasababisha chusa afungwe maana wile alikua rafiki yake halafu anauziwa mawe yote. Wivu jamani ni kidonda. Sasa hayo mawe umeuziwa au umeishiwa kupanuliwa njoro magereza? Huoni umemwaga dam mbaya? Umehonga ml 150 na bado umekamatwa unakazi ya kutema kamasi sasa umepata faida gani. Ndugu zake marahem, wazazi, mke na watoto wao si wameshasahau na wa naendelea na maisha? Je ww? Wake zenu , ndugu zenu na watoto? Wanalala? Pesa inafikaga mwisho . R.i.p chusa, r.i.p sharifu;, swaibu, na marehem wengine wote watarajiwa maana maandiko yanasema ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga. Kama mlipanga kuua mtu mungu atawaua haijalishi alikua mwema au mbaya hakuna mwanadam mwenye haki ya kuua mtoto wa mwanamke isipo kua mungu.
Mwenzetu mbona haueleweki umetokea wapi kwani?
Hahaaa poleni sanaaaa . Wote mnajulikana. Mmehonga ml 5 gazeti la nipashe kuandika usenge ili kijificha ila hamuwezi kukimbia mkono wa mungu. Kaburu ailipewa pesa na sharifu siku erasto anapigwa risasi yy yuko airpot kupeleka pesa magazeti ni . Nani asiyejua? Acheni kumzihaki mungu eti asalam aleikum. Ndio maana sharifu alikua anafuturisha watu huku anapanga mauaji? Acheni kudanganya watu bwana. Hao wa naweza kusaidia police hizo ml 100 waliziona? Mnaua watu kwa hisia za kimavi halafu mnaongea ujinga. Chusa alitumia vijana wake kumuua kijana mwingine alokua amefanya naye biashara cet garden, alimpiga wile risasi kwa mkono wake akafungwa akatoa ml 120 file likabadiliswa, akampa shahidi ml 40 na vitisho juu kua akisubutu kutoa ushahidi anamuua, akaona hatoki akadai erasto ndio anasababisha asitoke. Hivi ukiua unatafuta ni nani anasababisha ufungwe? Serikali ya baba ako? UNAONEKANA UNATAARIFA ZA KINA JUU YA MAUAJI HAYO,TAFADHARI UJE MAKAO MAKUU YA POLISI USAIDIE POLISI
"MWAKIPANDE",..birashaka wewe ni wa nyanda za juu Kusinihayo tena ni majanga...heee!!! au ni hela za 'mwakipande' unapata utajiri kwa muda fulani, muda wako ukiisha wa utajiri unakufa ghafla
Preta ntakupeleka kisiwa cha Mafia ukapate suntan au vipi? acha habari za kuwajua.Naomba nieleza habari za Mafia......au nipe link niwasome....seriously nataka nijue more about them.......