Channel zilizopotea dstv

Ndumbayeye

JF-Expert Member
Jan 31, 2009
7,334
3,893
waungwana decoder yangu dsd 1131 imepoteza chanel kadhaa kwa zaidi ya wiki tatu sasa, nifanyeje kuzirudisha?
 
tbc, afr magic swah, ss4 na 7, b4u na channeli zote za kenya zimehama kabisa
 
wala usihangaike tafuta fundi arekebishe huo ungo utakuwa umesheki coz ukiwapigia dstv watakwambia hivyohivyo
 
Itakuwa tatizo ni kwako either settings zimesetiwa vbaya au ungo umechange position. Lakn cku zote naona signal iko 100% na steshen zote zko hewani pamoja na mpya waliofungua ijumaa SS9 EAST
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom