Channel za Tanzania

Channel za Tanzania

Abdul Bilal

Member
Joined
Jul 29, 2017
Posts
88
Reaction score
15
Habari wakuu, nipo nje ya Tanzania ila napenda sana kuangalia channel zake. Nimejitahidi kutafuta dish ambalo litakuwa lina beam zavTz nimekutana na hilo pichani.
Sasa naomba msaada wa haya.
1. Dish liwe la size gani?
2. Ni kweli local channel nitazipata?
Natanguliza shukran zangu.
IMG_20190326_085603.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom