hapana mkuu wanaanza saa tatuCHanel ten walikuwa wanatuletea matokeom ya moja kwa moja toka pande zote za Tanzania, lakini naona ghafla wameacha na kuanza kutuonesha mambo ya ujenzi wa barabara kulikoni? au chichiem wameshawapiga stop?
Duuh,hawajamaa mikosi,kama mchakachuo upo ktk sura hii,basi watatuumiza,huku maeneo ya kupigia kura kwa mh.tarimba naona wanachakachua kwa kutuzimia umeme.Haya bana!!nadhani ndo hivyo, kama CCM wana kikao sasa hivi ni lazima wastop hilo... pia TBC1 watafuatia...