Wametangaza kuwa wagombea 3 wa uchaguzi mdogo wa zalinze wamerudisha fomu leo ambao ccm chadema na cuf lakini cha kushangaza wamemrusha hewani mgombea wa ccm na cuf tu bila kumpa nafasi wa cdm kwa nini hamja balansi habari?mnachuki gani na cmd huo sio weledi wa kiandishi jirekebisheni.