Tangazo,
Leo tarehe 30/08/2017 saa 1 mpaka saa 4 asubuhi, na kesho tarehe 31/08/2017 saa 1 mpaka saa 4 asubuhi kutakua na wataalamu pale DUCE karibu na uwanja wa taifa.
Wataalamu hao watatoa CHANJO kwa watu wenye tatizo la ajira na wanaohitaji kuajiriwa,
Hivyo basi kama una maradhi hayo hakikisha unafika DUCE katika tarehe hizo,
Kwani mpaka sasa wameshawasili watu zaidi ya 10,000 kupata CHANJO hiyo,
Hivyo fika bila kukosa pia mjulishe na mwenzio mwenye maradhi hayo,
Ahsante
Leo tarehe 30/08/2017 saa 1 mpaka saa 4 asubuhi, na kesho tarehe 31/08/2017 saa 1 mpaka saa 4 asubuhi kutakua na wataalamu pale DUCE karibu na uwanja wa taifa.
Wataalamu hao watatoa CHANJO kwa watu wenye tatizo la ajira na wanaohitaji kuajiriwa,
Hivyo basi kama una maradhi hayo hakikisha unafika DUCE katika tarehe hizo,
Kwani mpaka sasa wameshawasili watu zaidi ya 10,000 kupata CHANJO hiyo,
Hivyo fika bila kukosa pia mjulishe na mwenzio mwenye maradhi hayo,
Ahsante