Chanjo MPYA ya UKIMWI inayoponesha wengi

Chanjo MPYA ya UKIMWI inayoponesha wengi

fukutoz

Member
Joined
May 3, 2018
Posts
10
Reaction score
14
Asante sana wakuu kwa mchango wenu wa Jana kuziona picha ya ARV na ushauri.

Sasa Leo ningeomba tujadili swala moja muhimu sana.....

Kwa kuwa serikali na taasisi mbalimbali zinajitahidi sana katika kupunguza maambukizi ya UKIMWI

Mimi pia katika harakati hizo nina mchango ufuatao:
Serikali na taasisi husika zipambanazo ktk kupunguza maambukizi zilete dawa za SINDANO tu kama chanjo ya UKIMWI badala ya vile vidonge vyenye rangi nzuri ya kupendeza.....
Utafiti wangu mdogo umegundua WATANZANIA wengi tunaogopa SINDANO.....

Hivyo watu watakuwa waangalifu na michezo yao kuogopa DHAHAMA ya mikuki kila siku.....

Ahsanteni
 
Sindano ndio ifanye watu kuacha ngono zembe!
 
Kama mtu anadiriki kupiga kavu kwa kiumbe ambacho hajui historia yake yeyote, wamekutana bar tu unadhani ndio atasita kufanya yake kwa kuhofia sindano? Tatizo akili za juu zikishuka chini hata muoga wa mwisho hujipa ujasiri wa simba dume, majuto hufuata baadae.
 
Serikali na taasisi husika zipambanazo ktk kupunguza maambukizi zilete dawa za SINDANO tu kama chanjo ya UKIMWI badala ya vile vidonge vyenye rangi nzuri ya kupendeza.....
Utafiti wangu mdogo umegundua WATANZANIA wengi tunaogopa SINDANO.....

Mkuu mimi nina swali, sio mtaalamu sana wa haya mambo. Unapendekeza chanjo badala ya vidonge; kwani chanjo ni kwa ajili ya kutibu au kuzuia? Sasa itakuwaje mbadala wa vidonge?
 
Ulichowaza ukimuelezea mtoto atahisi kuna watoto wengine wenye miili na umri mkubwa ila akili zao ni za kitoto.
 
Mikuki hahahaaaaa...
Utafiti wangu mdogo umegundua WATANZANIA wengi tunaogopa SINDANO.....

Hivyo watu watakuwa waangalifu na michezo yao kuogopa DHAHAMA ya mikuki kila siku....
 
Kama mtu anadiriki kupiga kavu kwa kiumbe amabacho hajui historia yake yeyote, wamekutana bar tu unadhani ndio atasita kufanya yake kwa kuhofia sindano? Tatizo akili za juu zikishuka chini hata muoga wa mwisho hujipa ujasiri wa simba dume, majuto hufuata baadae.
Ni kweli kabisa! Kichwa cha chini kikisimama, kichwa cha juu huinama hivyo kupoteza busara.
 
Back
Top Bottom