chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 19,689
- 22,703
Wadau chanjo kitaalam anapewa mtu ambaye hajapata ugonjwa ili iwe kinga kwake.
Watanzania wengi sasa COVID-19 ilishapamba moto kutokana na jinsi serikali ya JPM ilivyopuuzia hili jambo. Sitegemei maajabu sana katika hili suala wakati wengi wetu ni asymptomatic (hatuoneshi dalili) lakini virusi vya Corona tiyari tunavyo.
Inabidi kutafakari zaidi suala na maana halisi ya Chanjo/Vaccine
Watanzania wengi sasa COVID-19 ilishapamba moto kutokana na jinsi serikali ya JPM ilivyopuuzia hili jambo. Sitegemei maajabu sana katika hili suala wakati wengi wetu ni asymptomatic (hatuoneshi dalili) lakini virusi vya Corona tiyari tunavyo.
Inabidi kutafakari zaidi suala na maana halisi ya Chanjo/Vaccine