ahahahahah, mtambuzi umeniacha hoi, inaelekea enzi za mwalimu ulikuwa noma. sasa mlirudi tena siku nyingine hapo au ndo mkapakimbia kabisa.
Haya bana mwaka 2000 apartments dar? sio kitu ni hadithi nzuri, nashauri hivi vistori vikusanye pamoja JF itoe kitabu, week end njema.
Mkuu acha utani bana, yaani uongo hata kwa Machangu!................Ule ulikuwa ni ulimbukeni wangu tu nadhani. Lakini nimejifunza mengi katika makuzi yangu na ndio maana najiita MZEE MTAMBUZI.hahahahahahahahahah
Baba yangu Mtambuzi sikujua huu uzi unfurahisha namna hii; niliupotezea tangu ulipoupost............leo nikajilazimisha kuingia kuona kulikoni.......!
Da! nashukuru niliamua hilo kwani nimecheka na kufurahi kama mwendawazimu! pamoja na hayo umenikumbusha mtiririrko wa visa vingi vya aina hii ambavyo mimi na rafiki zangu tulikumbana nanvyo na vingine viliwafikisha wenzetu hatarini kwani walivamiwa na majambazi wakidhaniwa kweli ni "mabopali" kumbe hamna kitu................lakini pia imenitafakarisha katika upande mwingine amabo tumekuwa tukijadili hapa mara kwa mara kuwa ili kuweza kumweka mwanamke katika himaya yako iwe ya kudumu ama ya muda mfupi.............UONGO japo kidogo lazima utumike!
Bora umemjibu, maana mimi nilijionea nikae kimya tu...........................lakini simlaumu maana huenda miaka hiyo alikuwa bado ni NJUKA!Zilikuwepo bana.................hadi kule Changanyikeni (Nyuma ya Chuo Kikuu cha DSM ) ambako nilikuwa naishi!
Mkuu, ni Mungu tu ndiye anayejua kile ambacho kingetokea............................
Hahahaaaaa story tamuuu! Yani the way ilivyokufiti uhusika huwezi kujitoa kabisa. Kama si wewe nani sasa? Ni wewe bwana! wala usiogope.Unanisingizia tu Broda, hii sio mimi kabisa............................
Kipofu nimeona mwezi.....................Nimecheka sana.
Pole kwa yaliyokukuta mkuu. Ila ndo kujifunza
Kweli wewe ni mzoefu wa eneo lile, kumbe na wewe ulikuwa mteja wa totoz katika anga hizo eh......................! LOL