Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,398
- Thread starter
- #41
ujana una raha zake na majuto yake napenda watu kama wewe ukiamua kutulia hubabaiki na kitu ogopa anayeanza ujana na miaka 40 jua limekuchwa anajiona kijana hongera mreno wa mwananyamala
Hilo jina la Mreno wa Mwananyamala, silipendi kama nini, Hata hilo la Gustavo, maana nimeona wadau humu wameanza kunipachika majina hovyo, jamani patachimbika hapa.............................!