Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,709
Tafadhali soma uelewe kisha utoe jibu;unapoambiwa au kuona mke,mume,mpenzi amefanya mapenzi na mtu mwingine ni kipi kinachokufanya BP iwe juu?Je ni mautam anayokupa kwenye makasheshe,Je unahisi amekudhalilisha?Je ni mazoea tu ndo yanakuchanganya?Je ni kwa sababu amevunja makubaliano ya kutotoa mwili wake kwa mtu mwingine?Je ni kwa sababu ni dhambi?Coz ule ni mwili wake na ameamua kuutoa kwa mtu mwingine,tatizo kwako nini?Hii ni changamoto kwetu ili kuepuka kufanya mambo kwa mazoea au bila kujiuliza!