Changamoto za ndoa

Uchukue nusu ya mshahara umekuwa loans board ila kuna wanawake matapeli kweli..
 
Anataka achukue nusu ya mshahara wa mumewe. Ikiwa kuhudumia mtoto kwa selikari mumeo anatakiwa atoe sh 20 elfu n debe moja la mahindi, kiufupi utakawa kulima ndio uje kuvuna huyo mwanaume anatakiwa aowe haraka sanaaaa
 
Kwa kifupi tu kama hii stori ni ya kweli huyo Mwanamke hajitambui kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…