Jamani ni hv, nina mpenzi wangu ambae anaishi maeneo ambayo wa2 wanapachukulia kama pabaya means social cervices hazipatikan ss marafiki ninaoish nao kila lililobaya wanaelekezea huko mara oh mimi kama mm siwezi ishi huko. Sio kwamb wananambia ila wanasema ktk story zao na mengine mengi ila nimevumilia ss mwaka wa pili naomba mnambie wana JF lengo la hawa marafiki kumcrash mpenzi wangu na maeneo anayoishi.