Samaritantz
New Member
- Nov 18, 2024
- 4
- 13
Habari za wakati huu jamani. Mimi ninachangamoto moja ninapendwa na mwanamke ambae tayali kwao amesha tolewa posa na huyo mwanamke hataki kuniacha.
Naombeni ushauri wadau.
Naombeni ushauri wadau.
Huwezi pata ushauri hapa, because hatuwezi pata detailed account ya mahusano yenu, so just use your common sense kufikia maamuzi sahihiHabari za wakati huu jamani. Mimi ninachangamoto moja ninapendwa na mwanamke ambae tayali kwao amesha tolewa posa na huyo mwanamke hataki kuniacha.
Naombeni ushauri wadau.