♦️ Wamiliki wengi wa nyumba za wageni, hawasimamii ipasavyo, ukarabati wao wanawaza makusanyo tuu
♦️ Wafanyakazi wa usafi ni wa sanii wa kubwa na utaligundua pale ukichukua chumba mfululizo zaidi ya siku moja, shuka wanazirudia zile zile
♦️ Nyumba za kulala zinatakiwa zitengenezewe sound proof. Kuna mafirauni , madeva , wafanyakazi wanaokwenda semini, kazi yao ni kubeba magumegume yaliyokubuhu, ili ku justify fedha nyingi yanakuwa yanapiga kelele kama mashetani usiku kucha, sasa kama upo safarini umepumzika kwa uchovu utakoma usiku ule.sauti yote inaishia kwako