KERO Changamoto ya maji

KERO Changamoto ya maji

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Annonymous

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2013
Posts
727
Reaction score
1,210
Hv inawezekanaje miaka 50+ tunategemea maji ya mvua, je tuko serious kweli watu million 60+ serikali yetu haina moango wala haikuwahi kujioanga kuwa na cyanzo vya maji vya uhakika nje ya mvua. Nachojua mimi ardhini kuna mikondo ya maji inayotembea kwa pressure ya hali ya juu mno. (Nmechimba kisima cha mashine na kawaida nmeona hili).

Maji siku zote huzingatia gravity meaning maji yakimwagika chini huzama ardhini. Je sisi ni watu wa namna gani kusubiri mvua inyeshe ndio tupate maji. Inamaana isiponyesha kwa miaka 3 hili taifa halitakuwepo.
Je sisi tuko serious kweli au bora tuwe colonized na wenye akili kama viongozi ndio hawa.

Je tumeshindwa kusafisha maji ya bahari yafae kunywa?...mbona visima vinavyotoa maji ya chumvi vinaweza kusafishwa maji yake kuwa mazuri.

Je ziwa victoria imeshindikana kuvuna maji yake yapite kila mkoa kuhudumia watu?...mbona reli imeenda hadi kigoma na gesi tumeweza kuitoa mtwara hadi ubungo.

Jr hv tuko serious kweli hli taifa??
 
Waziri fake lazima atakuwa na majibu Yale hawana solution
 
CHANZO CHA MATATIZO YA HII NCHI NI CCM NA WASHIRIKA WAKE!

KWA UMOJA WETU SIKU AMBAYO TUTAKIZIKA HIKI CHAMA,TANZANIA ITAKUWA ZAIDI YA MAREKANI!
 
Misri ambako wanategemea mto nile amba.o chanzo chake kipo hapa kwetu ziwa Victoria wao hawana shida ya maji na wanatumia hadi kilimo Cha umwagiliaji na kuzalisha chakula kingi kuliko tunavhozalisha sisi MUDA MWINGINE UNAONA MAANDAMANO MO29YALIKUWA SAHIHI SANA ILI KUFANYA MAGEUZI
 
Kuna muda unatamani ukutoke mtusi, ila basi tu. Miaka 60+ vyanzo ni vile vile ila magari na samani za majumbani mwao na maofisini mwao ni mpya kila kukicha, mbwa kabisa hawa
 
Back
Top Bottom