Top gun maverick
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 2,020
- 2,600
Habari poleni na majukumu ya ujenzi wa Taifa. Mimi ni mwanafunzi wa undergraduate wa mwaka wa pili nachukua course ya BSc MTA (Multimedia Technology and Animation).
Nipo likizo tumepewa jukumu la kuomba field kwenye organisation mbalimbali. Nipo Dar es salaam ila ni mgeni kabisa hasa pa kuanzia kupeleka maombi ya kufanya field. Nilikuwa naomba mwenye kuelewa organisation ambazo ni rahisi kupata sehemu ya kufanya practical field hasa katika masuala ya graphics design, website na masuala ya it kiujumla.
Msaada tafadhali .Asante.
Nipo likizo tumepewa jukumu la kuomba field kwenye organisation mbalimbali. Nipo Dar es salaam ila ni mgeni kabisa hasa pa kuanzia kupeleka maombi ya kufanya field. Nilikuwa naomba mwenye kuelewa organisation ambazo ni rahisi kupata sehemu ya kufanya practical field hasa katika masuala ya graphics design, website na masuala ya it kiujumla.
Msaada tafadhali .Asante.