Changamoto ya kuoa/Kupata mke

"..natafuta mke lakini sijafanikiwa kumpata ninae mtaka.."

Tatizo lako lipo hapo. Hakuna "mke unayemtaka" kuchagua mke lazima uweke clause ya "compromise" maana hata mwanamke utakayempata kwake hautakuwa mume anayemtaka bali mume anayeweza kuishi naye.
Siku ukibadili hiyo mindset bila shaka utapata mke mwema, in the meantime jitahidi kuja kuwa mume bora.
 
Asante sana mkuu
 
subira yavuta heri, usikurupuke subiri mda wa Mungu bado, ila kwa mda wako unaona teyari
 
Yaweze kana ni mm unae mtafuta njoo kwangu tufanye maisha.

Si lazima BWANA ajibu kwa moto anaweza kumtumia mwanadamu
 
Mkuu wewe ni mtu makini sana na inavyoonekana hata hukuwahi kujihusisha na mambo ya mapenzi direct.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…