Hello JF members, niko ugenini leo, nimekwenda kumtembelea member wa Jamii Forums
Sijui nimtaje?
Msosi umeletwa, mko mnakula, ukajikuta unaujiuliza wewe na Mungu wako,
"Mungu, hivi huu ni wakati sahihi kweli kumega tena tonge? Au nisubiri subiri kidogo"
Ishawahi kukukuta?
Nawewe tupia changamoto yako
Sijui nimtaje?
Msosi umeletwa, mko mnakula, ukajikuta unaujiuliza wewe na Mungu wako,
"Mungu, hivi huu ni wakati sahihi kweli kumega tena tonge? Au nisubiri subiri kidogo"
Ishawahi kukukuta?
Nawewe tupia changamoto yako