briophyta plantae
Senior Member
- Feb 18, 2017
- 120
- 140
Noah za Arusha to N
amanga zimekuwa na changamoto mbalimbali na hazifuatiliwi na vyombo husika. mojawapo ya changamoto hizo ni:-
-watu kubanana sana
-kubadilisha nauli wanavyojisikia(mbali kabisa na nauli iliyopangwa ya tsh 7,000 kwa noah na 5000 kwa hiace)
-kauli mbovu na ubabe kwa wateja.
-vinara wa kupitisha magendo e.g. miraa na baadhi ya bidhaa.
wahusika walifanyie kazi,wananchi wanapata usumbufu usio wa kawaida licha ya sheria na vyombo vya usalama.
amanga zimekuwa na changamoto mbalimbali na hazifuatiliwi na vyombo husika. mojawapo ya changamoto hizo ni:-
-watu kubanana sana
-kubadilisha nauli wanavyojisikia(mbali kabisa na nauli iliyopangwa ya tsh 7,000 kwa noah na 5000 kwa hiace)
-kauli mbovu na ubabe kwa wateja.
-vinara wa kupitisha magendo e.g. miraa na baadhi ya bidhaa.
wahusika walifanyie kazi,wananchi wanapata usumbufu usio wa kawaida licha ya sheria na vyombo vya usalama.