Mbunge wa CCM
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 475
- 25
Hilo jimbo linaweza kuwa la kufikirika hukoa Marekani.Jimbo gani? Mkoani Kilimanjaro?
.....ngoja tusikuharibie zaidi......ila ningekuwa mpiga kura wako......hungepata kura yangu ng'ooooo! u know why?
Jimbo gani? Mkoani Kilimanjaro?
...Jina lako siri? Jina la Jimbo kapuni? Sasa tutakusaidia vipi?
Tafadhali weka bayana japo tujue jimbo gani ili tukupe mikakati itakayo endana na jimbo lako Mfn. jimbo la wakulima au wafanya biashara, jimbo la wafugaji na vinginevyo.
Labda pia ungesema kwa nini umeamua kutoa michango ya kimaendeleo katika jimbo lako kipindi hiki cha uchaguzi na sio kabla ya hapa.
Hilo jimbo linaweza kuwa la kufikirika hukoa Marekani.
Kuna mama mmoja mheshimiwa sana wa kule mkoani Kilimanjaro ndio huwa anaongea mambo karibu na hayo. Huyu mkulu atakuwa na uhusiano naye tu.
.....ngoja tusikuharibie zaidi......ila ningekuwa mpiga kura wako......hungepata kura yangu ng'ooooo! u know why?
bora kama umeona mbali ktk kunufaisha (kimaendeleo) jimbo lako usilopenda kulitaja. maendeleo ya jumuia ni sawa lakini angalia, wapiga kura wengi hutegemea wakichagua mbunge basi hudhani ana miujiza ya kutimiza kila shida binafsi k.v kulipia ada watoto,kutoa nauli za safari, n.k. nadhani hii inachangia kwa wabunge wengi kukwepa majimbo yao mpaka uchaguzi unapokaribia. wapiga kura tuangalie hilo, tusiwakimbize wabunge wetu.
bora kama umeona mbali ktk kunufaisha (kimaendeleo) jimbo lako usilopenda kulitaja. maendeleo ya jumuia ni sawa lakini angalia, wapiga kura wengi hutegemea wakichagua mbunge basi hudhani ana miujiza ya kutimiza kila shida binafsi k.v kulipia ada watoto,kutoa nauli za safari, n.k. nadhani hii inachangia kwa wabunge wengi kukwepa majimbo yao mpaka uchaguzi unapokaribia. wapiga kura tuangalie hilo, tusiwakimbize wabunge wetu.
Pole sana, chama chenyewe unachogombea cha mafisadi, hata ukiwa na sera nzuri namna gani watakuziba tu. Utabaki kudumisha CCM na sio taifa lako. Ukombozi wa kweli hautapatikana kamwe kupitia CCM.
kweli dhamira yako inaweza kuwa safi sana ila chama ulichopo sio kabisa ukitaka mabadiliko badili pia na mazingira mabovu yalokuzunguka kwanza ndio dhamira yako inaweza kuwa safi na kabla ya uchaguzi akikisha yote uloaidi umeyatekeleza hapo uitaji ata kampeni wakati mpinzani wako yupo bze kujinadi majukwaani ww tekeleza ahadi zako kwa wananchi yani watakupa jimbo milele
Kwanza nakupongeza sana kwa kutangaza nia ya kugombea ubunge kwenye hilo jambo....ila mpaka sasa umeshakiuka kanuni za ccm kwa wagombea watarajiwa, kikanuni kama unataka kugombea unatakiwa ufike ofisi za chama na kutangaza nia yako kwa viongozi basi, huruhusiwi kupita jimboni kupiga kampeni na kuanza kutoa misaada na ahadi kwa wananchi.
Hiyo ni rushwa na kishawishi, muache mbunge aliyeko afanye kazi zake na akamilishe muda wake wakuwatumikia wananchi....na kuhusu hii kanuni mpya ya gharama za uchaguzi...umeumia kabisaaaa.
Kama unania ya kusaidia wananchi ngoja utakapochaguliwa ndio ujitolee hayo yote kupitia kanuni za chama....
Kuwa muangalifu ndugu....ila pia ni bora ukaweka wazi jimbo na jina ili usaidiwe hapa, maana kuna watu wanataalifa za majimbo huwenda wakakusaidia....
Back again?
Tunashukuru kwa kuja kuleta MREJESHO!
uLIPOTEA SANA mKUU!
ndugu umeongea kitu kikubwa a muhimu sana. niliguswa sana na tabia mbaya ya wabunge wengi kusaidia majimboni kutoka mifukoni mwao, sasa mimi nimeanza kutayarisha mfumomsingi wa uchumi wa mtu mmojammoja na jamii kwa ujumla, naamini tutafanikiwa. hamasa iliyoonyeshwa pamoja na ushiriki vimenitia moyo san. ubarikiwe.
Bado kidogo tu, ushindi ni dhahiri
KIDUMU CHAMA CHA MAPIMDUZI