N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,825
- 9,533
Miongoni mwa vituo vikubwa vya runinga hapa kwetu Tanzania katika kuhabarisha bila longolongo na angalau kwa ubora wenye nafuu japo sio 100% ni hivi vituo viwili vya ITV na Azam.
Kwa kweli studio zenu za kusomea taarifa za habari ziko old fashioned sana.
Nawaomba kwa niaba ya watazamaji wenzetu wekezeni ktk maboresho angalau ya hizo studio ili ziwe na muonekano wa kisasa japo kufikia kiwango cha studio za Citizen TV ya Kenya.
Tungetamani kuona movement za camera ndani ya studio kv tilts,pan nk sasa tukitazama idhaa kama BBC wana movements ya picture implements ndani ya studio kiasi kwamba habari haiboi.
Wekeni studio zenye viwango tuwe na habari ya kiwango tofauti na ilivyo sasa.
Azam mnajitahidi sana kwenye quality ya picha zote zikiwemo za regional reporters...kwa upande wa ITV bado baadhi ya waandishi wenu wanaleta picha duni.
Tafadhalini tupeni kitu bora. Ninyi wote mna muscles tupeni kitu kizuri kinachoendana na wakati tuliopo.
Kwa kweli studio zenu za kusomea taarifa za habari ziko old fashioned sana.
Nawaomba kwa niaba ya watazamaji wenzetu wekezeni ktk maboresho angalau ya hizo studio ili ziwe na muonekano wa kisasa japo kufikia kiwango cha studio za Citizen TV ya Kenya.
Tungetamani kuona movement za camera ndani ya studio kv tilts,pan nk sasa tukitazama idhaa kama BBC wana movements ya picture implements ndani ya studio kiasi kwamba habari haiboi.
Wekeni studio zenye viwango tuwe na habari ya kiwango tofauti na ilivyo sasa.
Azam mnajitahidi sana kwenye quality ya picha zote zikiwemo za regional reporters...kwa upande wa ITV bado baadhi ya waandishi wenu wanaleta picha duni.
Tafadhalini tupeni kitu bora. Ninyi wote mna muscles tupeni kitu kizuri kinachoendana na wakati tuliopo.