Changamkia fursa kijana

Changamkia fursa kijana

ulinzi sio fursa ni mateso mkuu wambie ukweli.... mtu analinda mali za mamilioni ye fedha alafu analipwa malaki.....
 
Mkuu, no offence ila...

Ulitakiwa uweke taarifa zote za mhimu hapo kwa mfano

1. Sifa za mtu ambaye unahitaji
2. Jina la taasisi au kampuni ambayo inahitaji mtu
3. Siku ya interview

N.k

Hiyo ya kusema ukihitaji nipigie inaonekana Kama haupo serious na unacho kihitaji unless otherwise unapenda kuongea kwa cm na watu.

Sometimes tuonyeshe u serious kufanya maisha yawe rahisi.
 
ulinzi sio fursa ni mateso mkuu wambie ukweli.... mtu analinda mali za mamilioni ye fedha alafu analipwa malaki.....
Nikweli sio fursa lkn kazin ndo Kuna kazi Kuna mtu katoka ulinzi anapolinda akawa kitengo sehemu aliokua analinda
 
Mkuu, no offense ila...

Ulitakiwa uweke taarifa zote za mhimu hapo kwa mfano

1. Sifa za mtu ambaye unahitaji
2. Jina la taasisi au kampuni ambayo inahitaji mtu
3. Siku ya interview

N.k

Hiyo ya kusema ukihitaji nipigie inaonekana Kama haupo serious na unacho kihitaji unless otherwise unapenda kuongea kwa cm na watu.

Sometimes tuonyeshe u serious kufanya maisha yawe rahisi.
Waulize waliopga simu kama awajapata maelezo ya kutosha na pia Mimi sio mwajiri wa kampuni Sina kibali Cha kupost majina ya kampuni za watu ukitaka pga usipitaka kalele
 
Fursa yoyote ikishapitia katikati ya mtu mwingine mpaka kumpata mwenye uhitaji basi ujue kama sio wizi basi ni udalali unahusika!!. Unataka kusaidia watu direct wape mawasilianobna kampuni au e-mail ya taasisi husika waombe na sio kupitia kwako...
 
Fursa yoyote ikishapitia katikati ya mtu mwingine mpaka kumpata mwenye uhitaji basi ujue kama sio wizi basi ni udalali unahusika!!. Unataka kusaidia watu direct wape mawasilianobna kampuni au e-mail ya taasisi husika waombe na sio kupitia kwako...
Ujalazmishwa
 
Nyie kampuni za ulinzi kichwa kimoja mnawachaji maboss zenu 250k mpaka 500k inategemea kama silaha nzito au la !

Then mnaajiri watu mnawalipa 80k-120k ! usafiri, malazi chakula juu yao ! Huu ni unyonyaji sana !
 
Nyie kampuni za ulinzi kichwa kimoja mnawachaji maboss zenu 250k mpaka 500k inategemea kama silaha nzito au la !

Then mnaajiri watu mnawalipa 80k-120k ! usafiri, malazi chakula juu yao ! Huu ni unyonyaji sana !
😂 😂 😂 Maisha kutegemeana
 
Mkuu, no offense ila...

Ulitakiwa uweke taarifa zote za mhimu hapo kwa mfano

1. Sifa za mtu ambaye unahitaji
2. Jina la taasisi au kampuni ambayo inahitaji mtu
3. Siku ya interview

N.k

Hiyo ya kusema ukihitaji nipigie inaonekana Kama haupo serious na unacho kihitaji unless otherwise unapenda kuongea kwa cm na watu.

Sometimes tuonyeshe u serious kufanya maisha yawe rahisi.
Ukiona hivyo huyu Mtu_imara anataka kuwaingiza watu chaka...!! Kumtofautisha na tapeli ni shughuri nzito.
 
Back
Top Bottom