Chaneli za tv kusomana kwenye screen moja

Chaneli za tv kusomana kwenye screen moja

LOTH HEMA

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2015
Posts
26,795
Reaction score
41,288
Moja kwa moja kwenye uzi. Nimechanganya media, dishi ni la Str Times na king'amuzi ni cha Azam. Chaneli za Star Times zinaonekana kwenye skrini sambamba na chaneli za Azam. Sijalipia za Star Times ila zinafunguka channeli za bure tatu tu za TBC1, Safari channel na ST.Guide. Je nikilipia chaneli za Star Times zitafunguka sambamba na za Azam ndani ya screen moja kama zinavyoonekana? Nataka kuepukana na madishi mengi na tv/ving'amuzi vingi kama media zinasomana ndani ya tv moja
 
Pia kuepukana na waya za HDM/ HDM3 kwa zile tv zinazopokea madishi/ving'amuzi viwili/vitatu. Kama chaneli za media fulani zinaweza kuonekana kwenye kisimbusi cha media nyingine ukichanganya dishi jingine na king'amuzi kingine mbona hii inapendeza sana kupunguza madishi yasiwe mengi
 
Pia kuepukana na waya za HDM/ HDM3 kwa zile tv zinazopokea madishi/ving'amuzi viwili/vitatu. Kama chaneli za media fulani zinaweza kuonekana kwenye kisimbusi cha media nyingine ukichanganya dishi jingine na king'amuzi kingine mbona hii inapendeza sana kupunguza madishi yasiwe mengi. Hii ikija kwenye simu nayo itapendeza sana, laini moja unapiga mtandao wenye huduma bora, pesa watakata kutokana na muda utakaotumika
 
Back
Top Bottom