Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 18,982
- 55,092
Inaonyesha huko simba hali si shwali kabisa, nasikia admin amekataa kuposti chochote
Tangu jana saa tisa mchana kilipotangazwa kikosi, mpaka sasa hakuna updates zozote, si half time, full time wala matokeo ya jumla.
Kwakweli naona huko klabuni hali si nzuri,afisa habari anapata wakati mgumu kuongea chochote, utaambia nini mashabiki kwa mpira ule.
Mwisho, pongezi nyingi ziwafikie mashabiki wenzangu wa Simba kwa kukataa kwenda uwanjani siku ya jana, ni hatua nzuri, kama viongozi wana akili watatuelewa.
Tangu jana saa tisa mchana kilipotangazwa kikosi, mpaka sasa hakuna updates zozote, si half time, full time wala matokeo ya jumla.
Kwakweli naona huko klabuni hali si nzuri,afisa habari anapata wakati mgumu kuongea chochote, utaambia nini mashabiki kwa mpira ule.
Mwisho, pongezi nyingi ziwafikie mashabiki wenzangu wa Simba kwa kukataa kwenda uwanjani siku ya jana, ni hatua nzuri, kama viongozi wana akili watatuelewa.