Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Zamani kituo hiki cha tv kilikuwa bora sana,habari ,vipindi nk
siku hizi wamefutika kabisa katika ushindani kwani inaboa kutazama hata live wao wanajiunga na TBC tu,hawajawahi kurusha live hata tukio moja
Zamani walikuwa na habari nzuri za maeneo ya mikoani hasa vijijini sasa hakuna,J ulimwengu naye alikwakimbia
hivi tatizo nini kwani kuna tetesi kubwa Rosti ya Azizi imeshikiliwa kituo hicho.
Hivi humu JF hakuna wafanyakazi wa channel ten tukajua tatizo
siku hizi wamefutika kabisa katika ushindani kwani inaboa kutazama hata live wao wanajiunga na TBC tu,hawajawahi kurusha live hata tukio moja
Zamani walikuwa na habari nzuri za maeneo ya mikoani hasa vijijini sasa hakuna,J ulimwengu naye alikwakimbia
hivi tatizo nini kwani kuna tetesi kubwa Rosti ya Azizi imeshikiliwa kituo hicho.
Hivi humu JF hakuna wafanyakazi wa channel ten tukajua tatizo