CHANEL TEN:: "UKAWA Wafanye Hivi"

CHANEL TEN:: "UKAWA Wafanye Hivi"

Mwinjilist mtume nabii

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2015
Posts
2,437
Reaction score
1,099
Ktk kipindi cha leo asubuhi cha mahojiano ktk chanel ten, yule jamaa ameongea pointi hata mimi nimeiona kuwa nzuru na viongozi wa UKAWA wangelifanyia kazi.

Yule jamaa amesema UKAWA wanakosea kuwaambia watanzania "KUTOIPIGIA KURA KATIBA PENDEKEZWA" na badala yake wangewashawishi watu "WAIPIGIE KURA YA HAPANA" maana kama hawatapiga kura kabisa.

Je, katiba pendekezwa si ndio itapita bila mjadala kwa wale watakaoipigia kura ya ndio? Amesema wangefanya ushawishi wa kura ya hapana ili kuleta ushindani.

Haya naomba wataalam wa siasa muingie kazini kujadili hilo.
 
wasipige kabisa ili kutoshiriki kwa namna yoyote katika uharamia huu.
 
wasipige kabisa ili kutoshiriki kwa namna yoyote katika uharamia huu.

Je, kutopiga kura kabsa si watakuwa wamewanyima watu haki yao ya kupiga kura?? na kura ya ndio si itapita bila kupingwa?? chambueni kwa makini jaman
 
Hakuna sababu kwa watu makini kujichanganya ktk mchakato uliokwisha vurugwa na genge la wahuni ambao kiasili ni wezi waliokubuhu. Tumewaona ktk kura walizopiga ktk bunge la katiba lakini pia wamefanya hivyo ktk chaguzi kadhaa zilizopita. Ni bora watanzania wakajua kuwa kura hii ilisusiwa kuliko kupiga kura ktk mchakato halamu
 
Sheria ya iliyopo sasa juu ya kura ya maoni inaelekeza kuwa kama majority za kura itakuwa ni "Hapana" basi sheria inatafsiri kuwa Watanzania wanataka kuendelea na katiba ya zamani (1977)
Ili kuionyesha Serikali kuwa hatujapendezewa na uhuni wa Chenge na Sita, ni kuususia kabisa upigaji kura ya maoni.
Na hata kama hao wachache wataipitisha basi Katiba hiyo ya Chenge na Sita itakosa uhalali na haita dumu kwa muda mrefu.
 
wewe na huyo jamaana aliyekuwa anaojiwa hapo ch 10 kweli bado hamjaijus tz vizuri mssna tz hata kama wote mkapigia kula ya hapana wao viongozi watasema ndiyo
 
hio katiba ni haramu tangu michakato ya kuiunda hata kupita itapita kiharamu but haidhuru tuipigie kura ya hapana ..huenda wata hisi hatia moyoni mwao...kwa ufedhuli wao.....

nawasilisha.
 
Ile Katiba ilishapita. Kupiga kura ni geresha tu. Wanaojua hivyo ndo wanaosema hawatapiga kura. Kapigeni kura ya hapana muwezavyo lakini mjue ilishapita!
 
Kama utakuwa umeangalia HOTMIX ya EATV leo jioni Esther Bulaya alikiri kabisa yeye ni muumini wa serikali 3 na katiba imekwisha pita hivyo basi kura yake ya ndiyo au hapana haitasaidia kitu.UKAWA kuhamasisha kutokupiga kura kabisa ni sawa,ni heri ibakie kuwa katiba yao.
 
Katiba mpya hafai yaani raisi ajae ajiandae kurudia mchakato kwa umakini zaidi
 
Je, kutopiga kura kabsa si watakuwa wamewanyima watu haki yao ya kupiga kura?? na kura ya ndio si itapita bila kupingwa?? chambueni kwa makini jaman

Wataipigiaje kura wakati walishakataa kuipigia kura wakati wa Bunge aalum la katib? kimsingi mchakato ulishavurugwa, ni udhalimu na CCM walishapanga kuipitisha hata kama wananchi wakisema hapana. Ni vema mikono ya walio wema kutojitia najisi kwa kushiriki uovu huo!
 
Hili halikuhitaji mpaka uambiwe na mtangazaji wa chanel 10, ulitakiwa uwe unalielewa tangu mwanzo. Hata katika chagui nyingi za raisi wale msiopiga kura hamjaathiri mtokeo hata siku moja na badala yake mnampa mgombea nafasi kubwa ya kushinda kwa kukosa wanaompinga.
 
jaman lkn tuangalie kipi ni bora kati kuipigia kura ya hapana, au kutopiga kabsa? alafu ikapita na kutumika kwa wote?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom