Babu Ubwete
Senior Member
- Jan 26, 2008
- 169
- 29
SSRA Ilikuwa haina umuhimu wa kuundwa labda kama walitumia kigezo cha kutoa ajira kwa akina IS.Inakula pesa za watanzania sioni kazi yake haswa. Tungeondoa uchafu wa hizi Agency zinamaliza kodi zetu tuu. Magari ,wafanyakazi,safari, fedha ya kuendeshea na kodi ya jengo wanayompati mheshimiwa mwenye jengo ni kuliibia taifa tuu.