Janja PORI
JF-Expert Member
- Jul 31, 2011
- 825
- 246
kwa taarifa nlizo nazo leo kipindi cha sa mbili na nusu watakuwepo wadau wakichambua sheria mpya inayokataka withdraw benefit, wadau mpige simu kuchangia
source Chanel Ten.
source Chanel Ten.
wakuu tupige simu leo kutoa machungu yetu...tusiishie kwenye keybord tu....kwa taarifa nlizo nazo
leo kipindi cha sa mbili na nusu watakuwepo wadau wakichambua sheria
mpya inayokataka withdraw benefit, wadau mpige simu kuchangia
source Chanel Ten.
kwa taarifa nlizo nazo leo kipindi cha sa mbili na nusu watakuwepo wadau wakichambua sheria mpya inayokataka withdraw benefit, wadau mpige simu kuchangia
source Chanel Ten.
kwa taarifa nilizo nazo, mkuu/mkurugenzi wa ssra mama irene isaka yupo geita, mgodi wa geita, na nasikia alikuwa na wakati mgumu sana na wafanyakazi wa huko, ameahidi anaenda kujipanga upya while wafanyakazi wa mgodi huo (wenyewe huwa wajiita watingaji) wamemwambia kama atakuja na story zake hizo bora asirudi.
LHRC walisema wanakwenda mahakamani. Sasa wanajadili nini na hawa wezi?
aa bana liwalo na liwe.
Hata wakitaka waninyime mshahara wangu wanipe nikifikika miaka 55 poa tu.