Wakuu nimeamin kabisa vyombo vya habar vina upendeleo,
Chanell ten wamerusha kampen za ccm pekee karenga huku wakiacha vyama vingine,kama Cuf na Chadema,imeniuma sana.
Hili lichama nimelichoka,kwa sababu halina msaada wowote kwa watanzania hasa ss wakazi wa karenga.