mmaranguoriginal.
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,060
- 459
Angalia ITV wanaonyesha mkutano wa Chadema, mnahonga nao?
nimeona ila mkuu tambua kwamba itv wanafanya check and balance(haki na usawa) kwa pande zote tofauti na hawa maponjee wa ccm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia ITV wanaonyesha mkutano wa Chadema, mnahonga nao?
STAR TV kwa makusudi leo saa mbili usiku (8/03/2014) ametoa taarifa inayohusu uchaguzi Kalenga....kwa kuweka maelezo ya mgombea wa CCM mwanzo mwisho mwa taarifa hiyo wakati...kwenye taarifa hiyo kulikuwa na vipande vya video ambavyo vinamuonyesha mgombea wa CDM akihutubia wananchi ....
hii nayo ni sabottage ya Star TV kwa CDM...nawasilisha
mkuu unamjua antony dialo yule mwenyekiti wa ccm wilaya ya nyamagana ndio mmiliki wa star tv unategemea nini.muulize angelo mwoleka yule mwandishi toka arusha aliyeonyesha dalili ya kushabikia cdm yaliyomkuta
mkuu unamjua antony dialo yule mwenyekiti wa ccm wilaya ya nyamagana ndio mmiliki wa star tv unategemea nini.muulize angelo mwoleka yule mwandishi toka arusha aliyeonyesha dalili ya kushabikia cdm yaliyomkuta
Wakuu nimeamin kabisa vyombo vya habar vina upendeleo,
Chanell ten wamerusha kampen za ccm pekee karenga huku wakiacha vyama vingine,kama Cuf na Chadema,imeniuma sana.
Hili lichama nimelichoka,kwa sababu halina msaada wowote kwa watanzania hasa ss wakazi wa karenga.
mkuu unamjua antony dialo yule mwenyekiti wa ccm wilaya ya nyamagana ndio mmiliki wa star tv unategemea nini.muulize angelo mwoleka yule mwandishi toka arusha aliyeonyesha dalili ya kushabikia cdm yaliyomkuta
Kujitundika itakuwa ngumu.ila wanacho tufanyia sisi watanzania siyo kitu kizur.
Samahan we ni Mfuasi wa Gamba??
Unaona sasa yani mdomo wa kiccm utaujuwa tu!
Hivi na hawa wakina Yericko Nyerere, Tumaini Makene, Kurugenzi ya Habari nao wame-hongwa na CCM? Kwa maana sio kuripoti habari za uchaguzi humu jukwaani!