Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,022
Nasi tusubiri tuone. Hivi wakuu mawakili wa pande zote mbili ni mtu na kaka yake? Maana niliwahi kusoma hapa jukwwani kuwa wakili wa washitaki ni kaka wa lissu na juzi nilisikia mawakili wamefiwa na baba yao mwenye kujua anijuze kidogo
ukweli unauma.stop your nonesense here!!
Jopo la majaji watatu wa mahakama ya rufaa waliokuwa wakisikiliza kesi ya kupinga kuenguliwa ubunge wake ya aliyekuwa Mbunge wa Arusha mjini, Mh. Godbless Lema, wamekamilisha kusikiliza rufaa ya kesi hiyo na kilichobaki ni kusubiri siku ya kusomwa hukumu!
Hayo yamesemwa na jaji mkuu, Bw. Othuman Chande.
Source: Tuongee Magazeti RFA
Ndiyo, Alute na Tundu ni mtu na kaka yake ila ni vyama tofauti.
Hata ktk uchaguzi wa 2010 Alute alitaka kugombea ktk jimbo la Lissu kupitia ccm but alidondokea pua ktk kura za maoni, so angefanikiwa kupita kwenye kura za maoni wangekutana na lisu kwenye mpambano wa uchaguzi mkuu.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Imani yako inautata! Hata hivyo naamini haki itatendeka na Lema atashinda!
Tupeni source ni nini hasa sio kusema tu kuwa magazeti , ni gazeti gani hasaGood news, wacha tujiandae kwa ajili ya tar. 2.10!
Jopo la majaji watatu wa mahakama ya rufaa waliokuwa wakisikiliza kesi ya kupinga kuenguliwa ubunge wake ya aliyekuwa Mbunge wa Arusha mjini, Mh. Godbless Lema, wamekamilisha kusikiliza rufaa ya kesi hiyo na kilichobaki ni kusubiri siku ya kusomwa hukumu!
Hayo yamesemwa na jaji mkuu, Bw. Othuman Chande.
Source: Tuongee Magazeti RFA
Nasi tusubiri tuone. Hivi wakuu mawakili wa pande zote mbili ni mtu na kaka yake? Maana niliwahi kusoma hapa jukwwani kuwa wakili wa washitaki ni kaka wa lissu na juzi nilisikia mawakili wamefiwa na baba yao mwenye kujua anijuze kidogo
Ndiyo, Alute na Tundu ni mtu na kaka yake ila ni vyama tofauti.
Hata ktk uchaguzi wa 2010 Alute alitaka kugombea ktk jimbo la Lissu kupitia ccm but alidondokea pua ktk kura za maoni, so angefanikiwa kupita kwenye kura za maoni wangekutana na lisu kwenye mpambano wa uchaguzi mkuu.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
ukweli unauma.
Nasi tusubiri tuone. Hivi wakuu mawakili wa pande zote mbili ni mtu na kaka yake? Maana niliwahi kusoma hapa jukwwani kuwa wakili wa washitaki ni kaka wa lissu na juzi nilisikia mawakili wamefiwa na baba yao mwenye kujua anijuze kidogo
nina imani na majaji walioteuliwa na mwenyekiti wa ccm kusikiliza kesi ya mtu aliyeitwa ikulu na mwenyekiti wa ccm kumuomba agombee arusha kwa tiketi ya ccm na akakataa...nina imani