Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Bayern kama wanataka ku-compete kwene hii fainali inabidi wamove the ball quicker in the midfield na waongeze penetration la sivo msiba mwingine kwa Ngosha unanukia. Wakiendelea na wanavocheza sasa watapigwa jengine maana naona defence yao ni kituko.