Bayern beki mbovu,kocha naye hana plan B.Huwezi kucheza na special one afu ucheze the same ulivyocheza na timu nyingine.The King of comeback amechemsha jana alifikiri Inter ni Man U lol!Dogo kuwa na heshma sijafungwa mimi wala Bellies, walifungwa Bayen kwa uzembe wao....ilijulikana kabisa jamaa watacheza counter attack van Gaal paid the cost....
Ata survive? Asije akajiharibia record yake aliyoiweka ya kuchukua CL mara mbili akiwa na team mbili tofauti.Madrid hawataki only vikombe also sex football. Ndio maana mzee mzima venga anakuwa na wakati mgumu sana kufanya decision linapokuja swala la kuhamia Madrid. Everything watampatia je ana utaalam wa kuwafundisha vijana sex football warudi kama enzi zile?.Madrid pale hatutaki mambo ya counter attack & kupaki busMourhino anasajili walizi tu Pale Madrido, huenda na viuongo wachezeshaji Gerrald is more likely
Mourinho to quit for £40m Real Madrid deal | European Football - Times Online
Ata survive? Asije akajiharibia record yake aliyoiweka ya kuchukua CL mara mbili akiwa na team mbili tofauti.Madrid hawataki only vikombe also sex football. Ndio maana mzee mzima venga anakuwa na wakati mgumu sana kufanya decision linapokuja swala la kuhamia Madrid. Everything watampatia je ana utaalam wa kuwafundisha vijana sex football warudi kama enzi zile?.Madrid pale hatutaki mambo ya counter attack & kupaki bus