CHAMI: Ekelege na Joyce wameniponza

Huyu jamaa ni buege wa kutupa..Watafuata wapi? Kwa kauli ya jana JK amesema 'kwa misingi ya sasa', thats means from now on (from yesterday- 4 May 2012) ndio watafuata, manake kwamba dhambi ya kabla ya hapo zimesamehewa!

Wacha upunguwani, ktia maana zisizokuwepo na kujijaza ujinga.
 
duh Chami hilo ni kielelezo tosha, kwamba ukubwa wa miaka sio usmart! mbona Nyalandu amekiruka kigunzi kwa kutoa ushauri wa kimaandishi kwa mujibu wa taratibu wa kazi yake.Ulipotoka kubali tu!
 
alifeli kwenye familia(ndoa kuvunjika)

umefeli siasa(uwaziri ikifuatiwa na ubunge 2015)
 
kama kuna kitu alichosema Rais juzi cha maana ni kua watakaowajibishwa sio mawaziri tu bali na wakurugenzi na watendaji wengine wa wizarani na mashirika ya umma safi sana.

Mheshimiwa Rais naomba uanze na bodi ya dawasco, ipigwe yote chini ianze upya... bosi wa tbs aondoke na achunguzwe mali zake pamoja na huyo katibu wa hiyo wizara ya viwanda...kila mtu aliyetajwa kwenye ile report ya cag apigwe chini hakuna msamaha.
 
Tired and hence retired. If you are an entrepreneur you will understand how user unfriendly this ministry is!
 
Rais Ekelege karuhusu condom zisizo na viwango na watu wanakufa hovyo sasa,tafadhali ashughulikiwe
 

Hakika,kwa hili,Chami ameonewa!
 

Uthman,

..mfumo wetu hauna matatizo.

..mbona CM Msuya alipokuwa waziri mkuu alipendekeza Mrema afukuzwe kazi baada ya Mrema kuishambulia serikali bungeni??

..Augustino Mrema alipokuwa waziri wa mambo ya ndani naye alipendekeza Silvano Adel[katibu mkuu mambo ya ndani] na Tryphon Maji[rpc dar] wafukuzwe kazi na Mzee Mwinyi akakubali ushauri wa Waziri.

..viongozi tuliowachagua wameshindwa kazi sasa wanakimbilia kusingizia wanakwazwa na mfumo uliopo.
 
Too Late Chami,hakuna haliyewahi kufa kwa kukosa uwaziri!
 

what is this thing Kuwajibika kisiasa?....kutokana na maelezo yako it sounds like si sahihi kwa Waziri kuwajibika kwa kwa matatizo ya kiutendaji yatakayotokea katika wizara yake kwa sababu si accounting officer!! i thought waziri ana jukumu la ku-lead ministry husika...pls naomba kufahamu role ya waziri katika wizara ni nini hasa?
 

Very well said! Nashangaa wanao-refer maneno ya raisi kama ni busara. Afterall anachosema raisi sicho anachokitenda. Personally na-prefer anyamazage kimya kuliko ku-comment chochote.
 
Anyamaze wakati anaonewa?
Very well said! Nashangaa wanao-refer maneno ya raisi kama ni busara. Afterall anachosema raisi sicho anachokitenda. Personally na-prefer anyamazage kimya kuliko ku-comment chochote.
 

Aanze na bodi ya PPF maana ni takataka, DG ndiye mwenye maamuzi, bodi hukaa kama mazuzu tu
 

Kumbuka nilikuandikia email nyingi sana chami , lakini ukanipuuza,
Je unamkumbuka mjumbe mwenye hasira kali sana wa kule kwa mjengwa? Ndio mimi, nilikutumia email kukutaarifu kuhusu huu ushenzi wa TBS ukaniona mpumbavu. sasa unasikitika nini?
hizi dili za kijinga za akina Ekelege nina uhakika hakuna hata senti umepatiwa kwa sababu ni vidili mbuzi sana lakini ukawakingia kifua na kusema tunamuonea. sasa umepoteza kitumbua chako kwa sababu ya kutetea ujinga
 
Kumbe ulimuonya? Ngoja ile kwake
 

hivi raisi hua anaangalia vigezo gani kumteua waziri?sasa kama huyu si vioja!?badala ya kushughulikia mambo mwenyewe anawaamini walio chini yake yeye kazi yake ni kupokea mshahara tu!what a shame?afu bado anabwabwaja its better akae kimya..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…