Chameleon Converts To Islam, Now called ‘Gaddafi’

Watanzania bana, dini kabadili Chameleon nyie uku Tanzania mnaleta porojo, acheni kuingilia maisha ya watu!
 
Kaingia Chaka!
'' Anayeongoka, basi anaongoka kwa maslahi ya nafsi yake mwenyewe, na anayepotea, basi anapotea kwa hasara (ya nafsi) yake mwenyewe. Wala hatabeba mbebaji mzigo wa mwingine. Na Sisi si wenye kuwaadhibisha (viumbe) mpaka tuwapelekee Mtume (ili awafahamishe yaliyo ya haki) Quran:17:15
 
Inaonesha ni namna gani hamjakomaa na mna mawazo mgando.hivi mnafahamu chochote kuhusu haki za binaadam?hivi mnafahamu chochote juu ya uhuru wa kuabudu?acheni kumkashifu.chamilion kama binaadam ana uhuru wa kuchagua imani yeyote aitakayo ambayo kwa mtizamo wako ni sahihi.kama imani aliyohamia huipendi au una chuki nayo,kaa kimya usichangie kwani uchaguzi wa imani ni suala la mtu binafsi.usifanye kila mtu aamini unachokiamini wewe.au achukie unachochukia wewe.tupevuke jamani!!HONGERA SANA TENA SANA BW GHADAF CHAMILION na nakutakia kila la kheri katika utekelezaji wa imani yako mpya.HUU NDO UHURU WA KUABUDU JAMAN!
 
kila mtu ana uhuru wa kuabudu ktk dini yyt MSIINGILIE UHURU WA CHAMILION KAAMUA KUWA MUISLAMU MWACHENI AMEAMINI KUWA UISLAM NDO DINI YA KWELI ITAKAYOMPELEKA MBINGUNI. JE WEWE UNAYEMDHIHAKI KW KAPOTEA NJIA WE UNAJUAJE KUWA UKRISTO NDO DINI ITAKAYOKUPELEKA MBINGUNI WKT KANISANI HUENDI NA UKIENDA NI MARA 1 KWA MIEZ 3, FUNGU LA KUMI HUTOI ILIMRADI UNAJIITA MKRISTO TU UNAAMINI UKO SAHIH KULIKO MUISLAM. NAKUULIZA WW UNAYEMKASHF CHAMELEON DINI ILIYOBORA NI IPI??
 
Hakuwa mkatoliki labda alikuwa na jina na anahudhulia ibada kanisa katoliki,mkatoliki au mkristo hawezi kubadili dini,ukristo ni awareness ya maisha baada ya haya tunayoishi,mtu aishiye na kuamini huona hayo maisha baada ya haya na yupo tayari kufia imani ili afikie maisha hayo...Ni Yesu pekee aliyetoa ahadi ya kweli juu ya maisha yetu baada ya haya kwa wale watakao mwamini
Well spoken mkuu, naona Jose kachanganywa na kitu iitwayo 'mdudu rushwa'.
 
mungu amemuongoza kuujua ukweli, na hii ni kazi ya mungu lakini watu wengi hawajui. ALLAH anasema INNA DINA IN NDALLAH AL ISLAM, dini ya haki mbele ya mwenye enzi mungu ni uislam. ikiwa utabisha unabisha kwa ujinga.
mimi nabisha kwasababu unaandika ujinga,kaa mbali usije kututia ujinga.
 
KAMPALA UGANDA MWANAMUZIKI maarufu nchini uganda, jose chameleon, ameamua kubadili kutoka dhehebu la kikatoliki na kuwa muislam. kwa mujibu wa vyombo mbalimbali vya habari, tukio hilo lilifanyika juzi jijini hapa na kushuhudiwa na mamia ya waumini wa kiislam. mara baada ya kusilimishwa, mwanamuziki huyo nyota nchini uganda, alishiriki swala ya ijumaa katika msikiti wa kibuli.

Kuanzia sasa ataitwa Gadafi Chameleon. katika tukio hilo la kubadili dini, chameleon alisindikizwa na marafiki zake ambao nao ni wanamuzhki Haruna mubiru na Grace sekamate. chameleon aliyekuwa mkatoliki na kufunga ndoa na Atim Daniella katika kanisa katoliki la mbuya miaka kadhaa iliyopita, amewashtua wengi kwa uamuzi wake. gazeti la mzalendo, Habari za michezo

Huyu mvuta bangi, hovyo. nakumbuka alivuta bangi nyingi/madawa ya kulevya akaruka toka juu ya ghorofa akaumia. Huyu akili yake imeshakuwa chafu. hata muziki wake hauvumi tena. Bangi mtu, mtu bangi
 
Dini iliyobora ni kuwasaidia yatima na wajane, kumbuka dini haimpeleki haimpeleki mtu mbinguni bali imani yake
 
mwanamuziki maarufu jose chameleon amesilimu na kuwa muislam, maamuzi hayo aliyachukua ijumaa iliyopita katika msikiti wa kibuli mjini kampala huku akiambatana na marafiki zake Haruna mubiru. taarifa zaidi soma mzalendo la leo habari za michezo.
 
Inawezekana tuu, mbona Michael Jackson alisilimu na mwanamasumbwi Mike Tyson nae alisilimu?... Ni jambo la kawaida tu...
 
Aache Baghi na Maulevi. . . ! Karibu kwenye Uislam Bwana Gadaf. . . .
Je ajafulia ? Imewahi kutokea kwa Michael Jackson na Mike Tyson, lakini matatizo ndio yaliwaleta kwenye Uislam wala si imani. !
Ramadhan Njema bwana Gadaf Chameleon
 
Aache Baghi na Maulevi. . . ! Karibu kwenye Uislam Bwana Gadaf. . . .
Je ajafulia ? Imewahi kutokea kwa Michael Jackson na Mike Tyson, lakini matatizo ndio yaliwaleta kwenye Uislam wala si imani. !
Ramadhan Njema bwana Gadaf Chameleon

Kwa hiyo unatuambia sie makabwela tuliofulia tuingie Uislam kuna neeema za Duniani na Mbinguni!!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom