Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Watanzania bana, dini kabadili Chameleon nyie uku Tanzania mnaleta porojo, acheni kuingilia maisha ya watu!
'' Anayeongoka, basi anaongoka kwa maslahi ya nafsi yake mwenyewe, na anayepotea, basi anapotea kwa hasara (ya nafsi) yake mwenyewe. Wala hatabeba mbebaji mzigo wa mwingine. Na Sisi si wenye kuwaadhibisha (viumbe) mpaka tuwapelekee Mtume (ili awafahamishe yaliyo ya haki) Quran:17:15Kaingia Chaka!
unanikumbusha tyson.kaingia choo cha kike huyo....ameruka jivu kauvagaa moto...loo aibu saaana
kaingia choo cha kike huyo....ameruka jivu kauvagaa moto...loo aibu saaana
Well spoken mkuu, naona Jose kachanganywa na kitu iitwayo 'mdudu rushwa'.Hakuwa mkatoliki labda alikuwa na jina na anahudhulia ibada kanisa katoliki,mkatoliki au mkristo hawezi kubadili dini,ukristo ni awareness ya maisha baada ya haya tunayoishi,mtu aishiye na kuamini huona hayo maisha baada ya haya na yupo tayari kufia imani ili afikie maisha hayo...Ni Yesu pekee aliyetoa ahadi ya kweli juu ya maisha yetu baada ya haya kwa wale watakao mwamini
mimi nabisha kwasababu unaandika ujinga,kaa mbali usije kututia ujinga.mungu amemuongoza kuujua ukweli, na hii ni kazi ya mungu lakini watu wengi hawajui. ALLAH anasema INNA DINA IN NDALLAH AL ISLAM, dini ya haki mbele ya mwenye enzi mungu ni uislam. ikiwa utabisha unabisha kwa ujinga.
KAMPALA UGANDA MWANAMUZIKI maarufu nchini uganda, jose chameleon, ameamua kubadili kutoka dhehebu la kikatoliki na kuwa muislam. kwa mujibu wa vyombo mbalimbali vya habari, tukio hilo lilifanyika juzi jijini hapa na kushuhudiwa na mamia ya waumini wa kiislam. mara baada ya kusilimishwa, mwanamuziki huyo nyota nchini uganda, alishiriki swala ya ijumaa katika msikiti wa kibuli.
Kuanzia sasa ataitwa Gadafi Chameleon. katika tukio hilo la kubadili dini, chameleon alisindikizwa na marafiki zake ambao nao ni wanamuzhki Haruna mubiru na Grace sekamate. chameleon aliyekuwa mkatoliki na kufunga ndoa na Atim Daniella katika kanisa katoliki la mbuya miaka kadhaa iliyopita, amewashtua wengi kwa uamuzi wake. gazeti la mzalendo, Habari za michezo
kaingia choo cha kike huyo....ameruka jivu kauvagaa moto...loo aibu saaana
Aache Baghi na Maulevi. . . ! Karibu kwenye Uislam Bwana Gadaf. . . .
Je ajafulia ? Imewahi kutokea kwa Michael Jackson na Mike Tyson, lakini matatizo ndio yaliwaleta kwenye Uislam wala si imani. !
Ramadhan Njema bwana Gadaf Chameleon
even kundika maajabu nalo ajabumaajabu hayaishi!!!