OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,191
- 103,711
Mwanzo tuliona kama jambo la kupuuza kwa sababu lilizungumzwa na mashabiki. Ila kwa sababu mpaka viongozi wa Yanga wamejiingiza kwenye uzushi inabidi kuwajibu. Kuwajibu ili kuwaepusha kwenye migogoro na mashabiki wao mapema.
Ushauri wa bure ni Yanga kubadilika na kufanya mambo kisomi kama ilivyo Simba SC. Mashabiki wanakuwa oya oya na viongozi wanakuwa oya oya.
Ushauri wa bure ni Yanga kubadilika na kufanya mambo kisomi kama ilivyo Simba SC. Mashabiki wanakuwa oya oya na viongozi wanakuwa oya oya.