Chama ni viongozi. CHADEMA kina hali gani pasipokuwa na viongozi wake wakuu?

Kajeba

JF-Expert Member
Oct 15, 2020
827
1,966
igweeee!

Ni muda sasa chama kikuu cha upinzani Tanzania CHADEMA kinapitia changamoto kubwa kiuongozi kwani mpaka sasa chama hiki viongozi wake wakuu hawapo huru kukitumikia chama.

Mwenyekiti Mbowe yuko huko segerea kutokana na charges zile ambazo zinaeleweka zipo kimchongo, mpaka sasa haifahamiki ni lini atarejea uraiani

Katibu mkuu wa chama yupo huko ng'ambo kwa sababu za kumkwepa mwendazake ilihali mtu huyo tulikwisha mzika na kumsahau karibuni miezi 10 sasa imepita.

Chama hiki kinaendeshwa vipi pasipokuwa na mwenyekiti wala katibu mkuu ofisini?

Hali hii ikiendelea chama kitaa hivo bila uongozi mpaka lini?

Je, Chama hakioni ulazima wa kuchagua viongozi wapya ili kuendelea kukiimarisha chama?
 
CCM bila dola haipo, ilishakufa kifo cha mende siku nyingi sana.

Jiwe lilishindwa vibaya Sana 2020 mpk likaamua kusambaza kura bandia kwa kutumia mabegi meusi nchi nzima.

Na kwa upande wa viongozi, hivi IQ ya mwenyekiti wa ccm inakaribia hata robo ya yule wa Chadema?

IQ ya Lisu peke yake ni sawa na IQ za Shaka, Mndeme, Chongolo, wenyeviti wa mikoa na wilaya, makatibu wa mikoa na wilaya plus UVCCM.
 
igweeee!

Ni muda sasa chama kikuu cha upinzani Tanzania CHADEMA kinapitia changamoto kubwa kiuongozi kwani mpaka sasa chama hiki viongozi wake wakuu hawapo huru kukitumikia chama.

Mwenyekiti Mbowe yuko huko segerea kutokana na charges zile ambazo zinaeleweka zipo kimchongo, mpaka sasa haifahamiki ni lini atarejea uraiani

Katibu mkuu wa chama yupo huko ng'ambo kwa sababu za kumkwepa mwendazake ilihali mtu huyo tulikwisha mzika na kumsahau karibuni miezi 10 sasa imepita.

Chama hiki kinaendeshwa vipi pasipokuwa na mwenyekiti wala katibu mkuu ofisini?

Hali hii ikiendelea chama kitaa hivo bila uongozi mpaka lini?

Je, Chama hakioni ulazima wa kuchagua viongozi wapya ili kuendelea kukiimarisha chama?
Linalofurahisha kuhusu CHADEMA ni jambo moja..pamoja na madhila na masaibu yote haya bado ni Chama ambacho kipo mioyoni sana mwa watu na kinapendwa sanaa..

Na hata sasa hivi ifanyike tu kura ya maoni popote pale kinavishinda vyama vyote..

Na watawala wanalijua hili ndio maana wanakiogopa sana..

Sasa imagine Viongozi wake wote wakuu wangekuwa wapo kazini ingekuwaje..?!
 
igweeee!

Ni muda sasa chama kikuu cha upinzani Tanzania CHADEMA kinapitia changamoto kubwa kiuongozi kwani mpaka sasa chama hiki viongozi wake wakuu hawapo huru kukitumikia chama

Mwenyekiti Mbowe yuko huko segerea kutokana na charges zile ambazo zinaeleweka zipo kimchongo,, mpaka sasa haifahamiki ni lini atarejea uraiani

Katibu mkuu wa chama yupo huko ng'ambo kwa sababu za kumkwepa mwendazake ilihali mtu huyo tulikwisha mzika na kumsahau karibuni miezi 10 sasa imepita

Chama hiki kinaendeshwa vipi pasipokuwa na mwenyekiti wala katibu mkuu ofisini?

Hali hii ikiendelea chama kitaa hivo bila uongozi mpaka lini?
Je, Chama hakioni ulazima wa kuchagua viongozi wapya ili kuendelea kukiimarisha chama?
Wanapeta kama yanga, Huku na nyie mkiteseka kama cmbaa.
 
Chama ni wanachama si viongozi ndo maana CDM bado inapeta tu hata bila viongozi wakubwa kuwepo. Mnyika ameprove success. Hongera katibu mkuu CDM
 
Hela zinaliwa tu, Martin Maranja Masese anatajirika, amekaa Dsm miezi mitatu Sasa akilipwa mapesa, kisingizio eti anaripoti kesi twita
 
hii tact ya kuwadhibiti viongozi wa upinzani imefail, chama dola kitafute namna nyingine kuukabili upinzani
 
Back
Top Bottom