Chama Kipya Kuundwa Karibuni!!

Naomba kiwe kokolo kichukue uchafu wote ndani ya upinzani wa kweli, maana mamba wamekuta wakifanyakazi na kenge kibao.
 
Starehe na maafa: Chris Lukosi
 
chama cha wataka uenyekiti,lazima kife kabla hakijaanzishwa,maana hakuna ataekubali kuwa chini ya mwenzie,kila mtu anataka uenyekiti.labda kiwe na wenyeviti sita
 
Duh hiyoooo kali,Chandimu/CDM angalieni mtajijambia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…