Chama gani kipo makini? Nataka kujiunga nacho

Chama gani kipo makini? Nataka kujiunga nacho

Elineema J Mosi

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2013
Posts
808
Reaction score
148
Ndugu
wana jf. Mm n mtanzania na sijajiunga na chama chochote,Nataka kujiunga
na chama makini ambacho kwao hawana ufisadi na Rushwa wanaipinga kwa
dhati. Wadau nijiunge na chama gani? By elly. Mategemeo yangu ni kwamba Mtakaza michango yenu kwa kuniambia SERA za hivyo vyama mnavyofikiri ni makini,sio mm tu wapo wengi watashawishika na kujiunga na vyama makini. Sio wote wenye vyama vya siasa.


BY ELINEEMA MOSI
MAJIBU SAHIHI YA CHAMA GANI WADAU BADO SIJAYAPATA,MBONA MNACHOKA KUNIELEZA SERA ZA CHAMA CHENU?
 
Tanzania hii hamna chama makini, vyote ni vyama vya waganga njaa.
 
mm naona uje huku JWTZ ndo chama kizuri
Ndugu wana jf. Mm n mtanzania na sijajiunga na chama chochote,Nataka kujiunga na chama makini ambacho kwao hawana ufisadi na Rushwa wanaipinga kwa dhati. Wadau nijiunge na chama gani?
 
Ndugu wana jf. Mm n mtanzania na sijajiunga na chama chochote,Nataka kujiunga na chama makini ambacho kwao hawana ufisadi na Rushwa wanaipinga kwa dhati. Wadau nijiunge na chama gani?

Fanya fafuatayo;
1. Tafuta ilani ya kila chama, ISOME.
2. Oanisha mwenendo wa chama na ilani yake.
3. Angalia viongozi wa juu wa KILA chama, na uwajibishwaji
wa viongozi wabovu wa kila chama.
4. Kupitia sehemu mahalia (local) yaani jimboni angalia ahadi zilizotolewa na Viongozi wa awamu angalau tatu zilizopita(kwa maana ya kiongozi mkuu wa chama alipokuja jimboni (KAMA ALIKUJA) na mbunge wake, kwamba ni ahadi ngapi zilizotolewa na utekelezwaji wake (angalau kwa asilimia).

5. Angalia Bunge la JMT uwakilishi wa mbunge wako wa sasa na wabunge wa majimbo mengine, ukiangalia
-hoja zinavyojengwa
-maswali yanayoulizwa
-majibu yanayotolewa
-umakini wa wabunge
-nidhamu ya wabunge(ndani ya bunge)

Baada ya hapo nina uhakika kama unania ya DHATI ya kutafuta chama, utakuwa umekipata.
 
Ndugu wana jf. Mm n mtanzania na sijajiunga na chama chochote,Nataka kujiunga na chama makini ambacho kwao hawana ufisadi na Rushwa wanaipinga kwa dhati. Wadau nijiunge na chama gani?

Wewe siyo mtanzania, possibly ni mdogo wake DENTIST-Kinana.
 
pole sana mkuu ila usijali ata wanaisraeli hawakua tayari kuamini alichokua anafanya yesu.jiunge chadema kinafaa mkuu take it from majority huku mambo ni sauti ya watu.
 
Karibu CHADEMA ndugu

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
chama makini tanzania ni chadema...kazi kwako
 
Kwa jinsi nilivyoona michango na akili yako UNASTAHILI KUWA GAMBA
 
Fanya fafuatayo;
1. Tafuta ilani ya kila chama, ISOME.
2. Oanisha mwenendo wa chama na ilani yake.
3. Angalia viongozi wa juu wa KILA chama, na uwajibishwaji
wa viongozi wabovu wa kila chama.
4. Kupitia sehemu mahalia (local) yaani jimboni angalia ahadi zilizotolewa na Viongozi wa awamu angalau tatu zilizopita(kwa maana ya kiongozi mkuu wa chama alipokuja jimboni (KAMA ALIKUJA) na mbunge wake, kwamba ni ahadi ngapi zilizotolewa na utekelezwaji wake (angalau kwa asilimia).

5. Angalia Bunge la JMT uwakilishi wa mbunge wako wa sasa na wabunge wa majimbo mengine, ukiangalia
-hoja zinavyojengwa
-maswali yanayoulizwa
-majibu yanayotolewa
-umakini wa wabunge
-nidhamu ya wabunge(ndani ya bunge)

Baada ya hapo nina uhakika kama unania ya DHATI ya kutafuta chama, utakuwa umekipata.
Mwambie tu ni CCM usimpe kazi hiyo ni ngumu kwake ndo maana ametuulza great thnkers
 
Ndugu wana jf. Mm n mtanzania na sijajiunga na chama chochote,Nataka kujiunga na chama makini ambacho kwao hawana ufisadi na Rushwa wanaipinga kwa dhati. Wadau nijiunge na chama gani?

Uko serious au unatuchosha tu?

Nimekuwekea ilani tatu za vyama vikubwa.

CCM - unaweza kupima utekelezaji wa walivyoahidi na kufanya maamui.

CHADEMA na CUF.

CHADEMA na CUF unaweza kuwapima kwa umakini wa mpangilio wa vipaombele vya taifa na documentation ya ilani yao. Kwa mtazamo wangu kwenye documentation na seriousness CUF iko juu kidogo hata ukiangalia quality ya ilani (ni maoni tu)! Ila CDM wako vizuri kwenye kelele!

Then unaweza kufanya maamuzi sahihi.
 

Attachments

Back
Top Bottom