Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
KESHO JUMATATU Tarehe 26/2/2018 saa 5 kamili asubuhi katika Ofisi ya Wabunge wa CUF, Magomeni –Dar es Salaam. Mwenyekiti wa KAMATI YA UONGOZI TAIFA MHE. JULIUS MTATIRO atafanya Mkutano na Waandishi wa Habari kuzungumzia masuala mbalimbali ya Kitaifa kuhusu Hali ya kisiasa na Demokrasia nchini, uchumi, usalama na jamii kwa ujumla.
Waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari na mitandao ya kijamii [Social Media Networks] mnakaribishwa kuhudhuria kwa wakati na pia mtapata fursa ya kuuliza na au kupata ufafanuzi wa masuala Mbalimbali yanayohusu mashauri yanayoendelea Mahakamani, Mwelekeo wa Chama cha CUF na Taifa kwa ujumla na kwa kadri mtakavyo hitaji juu ya ufafanuzi wa masuala hayo. Aidha, kwa vyombo vitakavyohitaji mahojiano maalumu [Exclusive Interview] vinakaribishwa na kutujulisha mapema kwa uratibu.
CUF NI TAASISI IMARA YENYE VIONGOZI MAKINI.
HAKI SAWA KWA WOTE
Imetolewa leo Tarehe 25/2/2018 na;
ANDERSON NDAMBO
AFISA HABARI CUF-TAIFA
Mawasiliano; +255 (0) 677332808, 078234841 Email:andambo@yahoo.com
Mkurugenzi Salim Bimani- 0655314112, 0777414112
Naibu Mkurugenzi Mbarala Mahargande- 0715062577, 0767062577
Waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari na mitandao ya kijamii [Social Media Networks] mnakaribishwa kuhudhuria kwa wakati na pia mtapata fursa ya kuuliza na au kupata ufafanuzi wa masuala Mbalimbali yanayohusu mashauri yanayoendelea Mahakamani, Mwelekeo wa Chama cha CUF na Taifa kwa ujumla na kwa kadri mtakavyo hitaji juu ya ufafanuzi wa masuala hayo. Aidha, kwa vyombo vitakavyohitaji mahojiano maalumu [Exclusive Interview] vinakaribishwa na kutujulisha mapema kwa uratibu.
CUF NI TAASISI IMARA YENYE VIONGOZI MAKINI.
HAKI SAWA KWA WOTE
Imetolewa leo Tarehe 25/2/2018 na;
ANDERSON NDAMBO
AFISA HABARI CUF-TAIFA
Mawasiliano; +255 (0) 677332808, 078234841 Email:andambo@yahoo.com
Mkurugenzi Salim Bimani- 0655314112, 0777414112
Naibu Mkurugenzi Mbarala Mahargande- 0715062577, 0767062577