connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 2,806
- 3,860
Nimekuwa nikipata maombi toka kwa watanzania mbali mbali kuhusu ku-coordinate uanzishaji wa Chama cha Wakinamama pamoja na kinababa waliozaa na raia wa matatifa niliyotaja (Nigerians & Chinese).
Ambao kwa namna moja ama nyingine wazazi wenzao toka mataifa hayo wamewakimbia hawatoi matunzo ya watoto wao nchini Tanzania.
Nimelileta kwenu wadau hasa ( Wanasheria, Maafisa ustawi wa jamii, wanaharakati na viongozi wa Dini) je jambo hili nikilianzisha nitakuwa navunja sheria yoyote ya nchi? Na je kwa uzoefu wako umeshawahi kukumbana na watoto wazazi wenye matatizo kama haya.
Natanguliza shukrani.
Ambao kwa namna moja ama nyingine wazazi wenzao toka mataifa hayo wamewakimbia hawatoi matunzo ya watoto wao nchini Tanzania.
Nimelileta kwenu wadau hasa ( Wanasheria, Maafisa ustawi wa jamii, wanaharakati na viongozi wa Dini) je jambo hili nikilianzisha nitakuwa navunja sheria yoyote ya nchi? Na je kwa uzoefu wako umeshawahi kukumbana na watoto wazazi wenye matatizo kama haya.
Natanguliza shukrani.