mjombo's
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 494
- 84
Maendeleo ya kweli ya nchi inategemea ustawi na uimara wa CCM, ikumbukwe CCM ni chama pekee chenye mizizi toka kaskazini hadi kusini, mashariki mpaka magharibi. Watz kwetu sote CCM ni mlezi wa mageuzi, tusishahau TULIKOTOKA!!! CDM ni mvua ya msimu tusibweteke nacho!!!
KIFO CHA CCM NI KURUDISHA NYUMA JITIHADA ZA WATZ KUJIKOMBOA KIUCHUMI NA KIFKRA
too conservative my 4rend