KASHOROBANA
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,241
- 964
Maendeleo ya kweli ya nchi inategemea ustawi na uimara wa CCM, ikumbukwe CCM ni chama pekee chenye mizizi toka kaskazini hadi kusini, mashariki mpaka magharibi. Watz kwetu sote CCM ni mlezi wa mageuzi, tusishahau TULIKOTOKA!!! CDM ni mvua ya msimu tusibweteke nacho!!!
KIFO CHA CCM NI KURUDISHA NYUMA JITIHADA ZA WATZ KUJIKOMBOA KIUCHUMI NA KIFKRA.....
Hizi ni bhange, tena bhange ya Iringa nasikia ukiivuta iyo inakufanya ufyatuke na uozo wa mawazo ya aina hii.
Kama kanu baada ya kuishinda CCM tutaizika, Jaji kesi ya Igunga kashindwa kuchakachua kwani anajua 2015 atakuwa chini ya Gvt tukufu ya CDM